Текстов песен в базе: 1 278 222
Fanya

Fanya

Willy Paul

Текст песни

Rapapapapampapapampapam!
Ayagayaw!
Willy Paul Willy Poze
Willy Paul Willy Poze
Willy Paul Willy Poze Rrrraaaa!
Mabinti walinichanganya, Cha!
Nairobi mpaka Mombasa, Cha!
Kayole mpaka Dandora, Cha!
Mathare mpaka Huruma, Cha!
Ghetto mpaka Tribeka, ni kweli mimi awillie
Nilikuanga mzirire, walinitesa mabintire
hivi leo nimerudi-ee.aii. kwa mwenyeziree anisamehe
Jalali nimekumissi sanaa,
kukupenda ndio nataka kufanya
fafa fanya fafa fanya
fafa fanya fafa fanya
fafa fanya fafa fanya
fafa fanya fafa fanya
Wollitup mic check one, two, si mnafahamu yule Daudi-re
alitenda madhambi eeh, lakini mungu ee alimpenda eeh
tunajua huyu Daudi-ee alikwendaa-re akapotea
leo leo narudi kwa papa X2
nikikweli eeh mimi awille, nilikuanga
Ni kweli mimi ah willie
Nilikuanga mziririe,
walinitisha mabintire
hivi leo nimerudi-ee
kwa mwenyezi-ree anisamehe
Jalali nakumiss sanaa,
kukupenda ndio nataka kufanya
fafa fanya fafa fanya
fafa fanya fafa yanya
fafa fanya fafa fanya
fafa fanya fafa fanya
mhh kamata chini, na na na na
juu kwa juu na na na na na
siku za mwisho zimewadia
wangapi watarudi na me today… kwake Babaa
Oh Halleluyah
Oh Halleluyah
Oh Halleluyah
Oh Halleluyah
Oh Halleluyah
Поделиться ссылкой:
Короткая ссылка: https://tekstpesni.ru/s/6XyU

Тексты других песен исполнителя

© 2017–2025 Тексты песен
Все тексты песен на сайте размещены пользователями, редакцией или собраны из открытых источников.
При копировании материалов ссылка на сайт обязательна.
Связаться
Уважаемые обладатели прав на музыку! На сайте не выкладывается музыка, ее нельзя скачать, послушать и тому подобное.